DAR ES SALAAM INTERNATIONAL TRADE FAIR (DITF)
Nawakaribisha wote katika maazimisho ya Sabasaba mwaka huu 2012, yatakayo anza rasmi tarehe 29/06/2012. Nitashiriki kama Jaji kwa mara ya pili sababu mwaka jana niliteuliwa kwa mara ya kwanza, nina uhakika mwaka huu ushindani utakuwa ni mkubwa nakila mmoja ataridhika na maonyesho haya. KARIBUNI
![]() |
Yes and this is the letter of appointment |
![]() |
and this is the Panel Judges tukiwa tunazunguka kucheki mazingira |
![]() |
Hapa bado waheshimiwa Majaji tukiwa tunazungukia maeneo yote kwa makini |
![]() |
Mheshimiwa Jaji na uso wa furaha |
DAR ES SALAAM INTERNATIONAL TRADE FAIR (DITF)
Reviewed by Women4WomenTz
on
12:50:00 AM
Rating:

hongera mh jaji.
ReplyDeleteAsante
DeleteHayo ni mashing another ya kibiashara au maazimisho? Yale yakuleta vitu viuzwe?
ReplyDelete